| Author |
Message |
marijani66
Member


Joined: 25 Nov 2003
Posts: 49
Location: bangalore,india

|
Posted:
Thu Jul 19, 2007 2:04 pm Post subject: uliza any technitian help on computer(hardware/software),4n, |
  |
uliza any help, kitu chochote regardn ur computer kuanzia sotware to hardware. ur 4n pocketpc, na vinginevyo, even cracking. imhot nakuibia kazi yako tehe |
_________________ are Zombiez and Grim Reaperz friends????

|
|
       |
 |
delp307
Newbie

Joined: 09 Nov 2004
Posts: 8
Location: finland

Age: 27
|
Posted:
Mon Sep 10, 2007 6:03 am Post subject: |
  |
hi , nina laptop yangu , inatatizo la network , ninapoiwasha napata internet kawaida , lakini baada ya muda internet inapotea , nalazimika kuizima na kuwasha tena ndio nipate internet , utanisaidiaje hapo ?? |
|
|
      |
 |
marijani66
Member


Joined: 25 Nov 2003
Posts: 49
Location: bangalore,india

|
Posted:
Mon Sep 10, 2007 12:44 pm Post subject: |
  |
uwezekano mkubwa utakuwa kwamba computer yako ina virus. jaribu kuweka antivirus ya kisasa(latest) na ufanye ui update. kama huna uzoefu sana na computer jaribu a free adeition of antivirus inaitwa avg(free) inappatikana www.grisoft.com or directly to www.free.grisoft.com. au sometimes maprovider wa kibongo wana matatizo wakiona unatumia bandwith i mean unakuwa na large downloads wana punguza internet speed yako mpaka inashuka kuwa 0.0. badili provider |
_________________ are Zombiez and Grim Reaperz friends????

|
|
       |
 |
marijani66
Member


Joined: 25 Nov 2003
Posts: 49
Location: bangalore,india

|
Posted:
Mon Jan 28, 2008 1:42 pm Post subject: |
  |
yo guys it's me ben86(marijani66) i used 2 lik avg anti virus bt now NOD32 Rocks ndio nimeona ni antivirus inayokimbiza sasahivi dunia nzima kwa kukamata virusi. kwa wale wazoefu hambao hawapendi kulipia software they can try nod32 version 3.XX ndio nzuri jaribu kubadili tu server to www.nod32upd.do.am/v3/ no username no password. |
_________________ are Zombiez and Grim Reaperz friends????

|
|
       |
 |
|
|
|
|
|
You cannot post new topics in this forum You cannot reply to topics in this forum You can edit your posts in this forum You cannot delete your posts in this forum You cannot vote in polls in this forum You cannot attach files in this forum You can download files in this forum
|
© 2002-2003 The Bongoland Web Project
Developed by Haddad Said
|
|